Social Icons

Pages

Friday, June 5, 2015

Wasanii wa komedi wakesha wakijifua kwa ajili ya muvi yao mpya

Ikiwa una Taarifa yoyote kuhusiana na Komedi, tangazo, Filamu mpya na mengineyo tuma kupitia Whatsapp namba +255653146563 au +255765056399 
 Direkta wa muvi hiyo, Sarah Albert Nduma akiwaelekeza wasanii jambo kwenye script.
 Wasanii wakijadiliana uhusika wao.
Etii
 Msanii, Ujio na Mkono Mkonole wakijaribu kuigiza baada ya vipande vya muvi hiyo.
 Mazoezi yakiendelea.
 Picha na Komedi Zone
Kamera ya Komedi Zone wiki hii imewamulika wasanii wa komedi wakifanya mazoezi kwa ajili ya muvi yao mpya ambayo kwa mujibu wa mwenyekiti wao, Sumaku, inatajwa kama muvi ya mapinduzi mapya ya komedi Bongo.

Kamera yetu iliwanasa wasanii hao wakiwa wamepiga kambi katika Hoteli ya Ndekha ambapo ndiyo makao makuu yao maeneo ya Magomeni Mwembechai jijini Dar wakifanya mazoezi bila kuchoka usiku mzima huku wakitarajia kuendelea kwa muda wa wiki nzima ya mazoezi kabla ya kuingia kwenye zoezi la kupiga picha.

No comments:

Post a Comment