Social Icons

Pages

Saturday, May 16, 2015

BAADA YA KUNUSURIKA NA MAJAMBAZI, NISHA AMSHUKURU MUNGU

Nisha akiwa katika sare za polisi katika muvi yake ya Mtaa kwa Mtaa inayotarajiwa kutoka hivi karibuni
 Picha ya gari la Nisha lililovunjwa na kuibwa fedha

Msanii mrembo kunako maigizo ya komedi,Nisha Jabu ameshukuru Mungu baada ya kunusurika kuuawa na majambazi waliovamia nyumbani kwake mapema wiki iliyopita na kumuibia mamilioni ya fedha.

Nisha alisema hayo kupitia ukurasa wake wa instagram ambapo katika post yake alimshukuru Mungu kwa kumnusuru na kuita jambo hilo kama majaribu huku pia akiwashukuru watu mbalimbali waliompa pole.

"Hata Nabii Ayubu alipata majaribu kama haya. Namshukuru Mungu sikudhurika pia nawashukuru wote mlionipa pole,"alisema Nisha.


No comments:

Post a Comment