Social Icons

Pages

Tuesday, May 19, 2015

MARINGO SABA ALALAMA KUITWA MKONGO


Msanii wa Komedi anayeuza sura kupitia kipindi cha Mizengwe kinachorushwa na kituo cha televisheni cha ITV, Maringo Saba amewataka mashabiki wake wajue kwamba yeye ni Mtanzania na siyo Mkongo kama inavyojulikana.

Akizungumza na Komedi zone  Maringo Saba alisema kuwa hiyo inatokana na jinsi anavyoigiza kwa lafudhi ya Kikongo ambapo inawafanya watu wengi wawe na dhana kuwa yeye ni Mkongo na si Mtanzania.

“Jamani mimi ni Mbongo  mwenzenu, ile ni lafudhi tu na swaga za kuigiza.

Na Komedi Zone.

No comments:

Post a Comment